iqna

IQNA

aal imran
Qur'ani Tukufu Inasemaje /33
TEHRAN (IQNA) – Aya ya 130 ya Sura Aal Imran inauchukulia umoja baina ya Waislamu kuwa ni jambo la wajibu na inasisitiza kwamba Qur’ani Tukufu ndicho chanzo muhimu zaidi cha umoja katika Umma wa Kiislamu.
Habari ID: 3476048    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/07